iqna

IQNA

Wanazuoni wa Kiislamu mashuhuri duniani
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/36
TEHRAN (IQNA) – Ni jambo linalokubalika miongoni mwa Waislamu na wanazuoni wengi wasio Waislamu yaliyomo katika Qur’ani Tukufu hayajabadilika tangu ilipoteremshwa kwa Mtukufu Mtume (SAW).
Habari ID: 3477949    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/26

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /31
TEHRAN (IQNA) – Tafsiri ya kwanza ya kitaaluma ya Kurani Tukufu katika lugha ya Kibulgaria ilitolewa na Tsvetan Teophanov, maprofesa wa Chuo Kikuu cha Sofia. Teophanov alijifunza lugha ya Kiarabu kwa bahati na hii ilisababisha maendeleo makubwa katika maisha yake.
Habari ID: 3477875    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/04

Wanazuoni Mashuhuri wa Kiislamu Duniani/1
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Muhammad Sadiq Ibrahim Arjun alikuwa mwanazuoni wa Al-Azhar ambaye aliandika vitabu vingi vya taaluma za Kiislamu, kikiwemo kitabu kuhusu namna Uislamu unavyohimiza watu kuishi pamoja kwa amani.
Habari ID: 3475901    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/09